Maofisa Habari Wanaochekesha Kuchukuliwa Hatua na TFF

 

Maofisa Habari Wanaochekesha Kuchukuliwa Hatua na TFF

Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi (TPLB), Almas Kasongo amesema msimu watatoa adhabu kwa Maofisa Habari wa timu wanaochekesha na kushindwa kuzungumzia Mpira huku akizikumbusha klabu kufuata kanuni kwa kuajiri maafisa habari wenye elimu ya habari.


“Kuna Muda unamsikiliza Ofisa Habari wa timu na kujiuliza, huyu ni kiongozi wa timu au mchekeshaji? Niseme tu ndugu zangu, msimu ujao 24|25 tutadili na watu hawa kwa kuwapa adhabu,“ amesema Almas Kasongo



from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/IBjeEvG
via IFTTT

Post a Comment

Previous Post Next Post