Eng. Hersi Said Apewa TUZO Kwa Mchango Wake wa Kuunganisha Vilabu Afrika

Eng. Hersi Said Apewa TUZO Kwa Mchango Wake wa Kuunganisha Vilabu Afrika


RAIS wa Klabu ya Yanga Sc na Mwenyekiti wa Umoja wa Vilabu Afrika [ACA), Eng. Hersi Said (@caamil_88) amepata tuzo kutoka World Football Summit [WFS], ya kuthamini mchango wake wa kuunganisha Vilabu vya Soka Afrika.

Tuzo hii imetolewa kwenye mkutano wa WFS, uliofanyika kwenye Jiji la Rabat, Nchini Morocco.



from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/zuWwo0g
via IFTTT

Post a Comment

Previous Post Next Post