Mambo Kadhaa Yaliyoipeleka Simba Nusu Fainali Shirikisho




Nafikiri kocha wa Simba “(Fadlu Davids) alifanya home work yake vizuri dhidi ya Al Masry : machuguzi ya kikosi yalikuwa sahihi , plan aliyoingia nayo ilikuwa perfect …. Kivipi ?

✍️ Simba hawakubadilisha aina ya uchezaji wao kutoka mchezo wa kwanza na muundo wa 4-2-3-1 lakini safari hii walifanya vitu vya kimsingi zaidi hasa nyakati wakiwa na umiliki wa mpira :-

1: Walikuwa idadi nzuri ya wachezaji eneo la mbele huku wakipata machaguo mazuri ya kupasi mpira .

2: Uharaka wa maamuzi pale wanakuwa na mpira . Fanya mpira utembee kwa uharaka .

3: Runners wengi eneo la mbele …. Kuifungua block ya Masry ambayo walikuwa na muundo wa 5-3-2 bila mpira .

4: Bila mpira wanaweka presha vizuri kwenye mpira na kwa mpinzani .

✍️ Baada ya hapo ni Simba watafanya nini kupunguza idadi ya magoli huku mda mwingi wakiwafanya Masry kukosea pasi wakati wa build up , waliwalazimisha watumia mipira mirefu ambayo Simba walishinda wao wa kwanza + idadi ya wachezaji wa Al Masry kwenye eneo la mbele ilikuwa ni ndogo .

NOTE:

1: Ellie Mpanzu “Baller” : Physically , Utulivu + Decision Making 🔥

2: Dese Mukwala 🔥 Runs , Toughness 💪🏿 and finishing ✅

3: Deghmoum anajua sana boli 🔥

4: Kapombe kacheza game nzuri .

5: Moussa Camara kwenye Penalti 🙌

FT : Simba 2-0 Al Masry (Agg 2-2 …. Pen 4-1)

By Kelvinrabson


from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/vSaCDXp
via IFTTT

Post a Comment

Previous Post Next Post